
Kikao cha Bunge la Tanzania leo kimevurugika kutokana na vurugu za baadhi ya wabunge waliokuwa wakibishana kuhusu swala la kiongozi wa chama cha upinzani Profesa Ibrahim Lipumba wa chama cha CUF kushambuliwa na polisi jana kwa madai kuwa alihusika katika maandamano kinyume cha sheria.
Post a Comment