JINS YA KUANDA, KUPIKA NDINZI NYAMA
Na Fatuma Mzee
Ndizi ni chakula ambacho hulimwa katika sehemu nyingi duniani tanznia ni moja kati ya
sehemu ambazo zao hilo hulimwa hasa mikoani ya kilimanjalo , kagela , Mbeya , pamoja na mkoa wa tarime mkoani mara.
Ndizi ni zao la chakula wakati mwingine ni biashara . Zao
hili hutumika kutengeneza mikate , kileo kijulikanacho kama mbege maarufu kwa
wenyeji wa mkoa wa kilimanjalo
Leo
tunajifuza jinsi ya kuandaa na kupika ndizi kwa nyama . maarufu kama machalari
kwa wenyeji wa kilimanjolo ili kuanda aina hii ya chakula unahitaji kuwa na
vituvifuatavyo .
MAANDALIZI
-
Katanyama na uoshe vizuri tayari kwa kubandika
jikoni
-
Menya ndizi na kasha kata vipande vidogo vidogo
vya saizi
-
Andaa nyanya , pilipili hoho , vitunguu thoum na
maji , karoti kwa kuosha na kasha tayari kwa kuungia ndizi
-
Kuna nazi na kuhichuja matuhi mawili
MAPISHI
-Bandika nyama jikoni hadi iive
vizuri.
- Changanya karoti pilipli hoho ,
vitunguu nyanya na ndizi
-Bandika jikoni na hadi
mchanganyiko huo uive vizuri .
-Weka mafuta ya kupikia ya kutosha
-Baadae ya kuona mchanga nyiko huo
umeiva vizuri weka tui la pili .
- Baadae weka tui la kwaza
- Pika kwa mda wa dakika tano hadi
kumi
Mpaka hapo
chakula chetu kitakuwa tayari kwa kkuliwa chakula hiki huweza kuliwa kama mlo
wa mchana au usiku unategemeea wewe mwenyewe mipangilio yako.
Ahsante kwa makala hii ila kiswahili mmmmm
ReplyDelete